Mambo ya Walawi 26:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “‘Mkiendelea kufuata sheria zangu na kushika amri zangu na kuzitekeleza,+ 4 nitawaletea mvua katika majira yanayofaa,+ nayo nchi itazaa kwa wingi,+ na miti ya matunda itazaa matunda mengi. Methali 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Baraka ya Yehova ndiyo inayomtajirisha mtu,+Naye haichanganyi na maumivu.* Isaya 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mkionyesha utayari na kusikiliza,Mtakula vitu vyema vya nchi.+
3 “‘Mkiendelea kufuata sheria zangu na kushika amri zangu na kuzitekeleza,+ 4 nitawaletea mvua katika majira yanayofaa,+ nayo nchi itazaa kwa wingi,+ na miti ya matunda itazaa matunda mengi.