Yoshua 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Waagize makuhani saba wabebe pembe saba za kondoo dume na kulitangulia Sanduku. Lakini siku ya saba, mnapaswa kulizunguka jiji mara saba na makuhani watapiga pembe hizo.+ Yoshua 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na mara ya saba, makuhani walipiga pembe na Yoshua akawaambia watu: “Pazeni sauti,+ kwa kuwa Yehova amewapa jiji hili!
4 Waagize makuhani saba wabebe pembe saba za kondoo dume na kulitangulia Sanduku. Lakini siku ya saba, mnapaswa kulizunguka jiji mara saba na makuhani watapiga pembe hizo.+
16 Na mara ya saba, makuhani walipiga pembe na Yoshua akawaambia watu: “Pazeni sauti,+ kwa kuwa Yehova amewapa jiji hili!