Yoshua 22:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Akani+ mwana wa Zera alipokosa uaminifu na kuchukua kitu kilichopaswa kuharibiwa, je, Mungu hakuwakasirikia Waisraeli wote?+ Akani hakufa peke yake kwa sababu ya dhambi yake.’”+ 1 Mambo ya Nyakati 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mwana* wa Karmi alikuwa Akari,* aliyewaletea Waisraeli msiba,*+ ambaye alikosa uaminifu kuhusiana na kitu kilichopaswa kuharibiwa.+
20 Akani+ mwana wa Zera alipokosa uaminifu na kuchukua kitu kilichopaswa kuharibiwa, je, Mungu hakuwakasirikia Waisraeli wote?+ Akani hakufa peke yake kwa sababu ya dhambi yake.’”+
7 Mwana* wa Karmi alikuwa Akari,* aliyewaletea Waisraeli msiba,*+ ambaye alikosa uaminifu kuhusiana na kitu kilichopaswa kuharibiwa.+