Yoshua 22:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Je, Akani+ mwana wa Zera siye aliyefanya tendo la kukosa uaminifu kuhusiana na kile kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuharibiwa, na je, hasira haikuja juu ya kusanyiko lote la Israeli?+ Wala yeye siye mtu peke yake aliyekufa katika kosa lake.’”+
20 Je, Akani+ mwana wa Zera siye aliyefanya tendo la kukosa uaminifu kuhusiana na kile kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuharibiwa, na je, hasira haikuja juu ya kusanyiko lote la Israeli?+ Wala yeye siye mtu peke yake aliyekufa katika kosa lake.’”+