Yoshua 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na mara tu baada ya kuliteka jiji, mnapaswa kuliteketeza kwa moto.+ Mtafanya kama Yehova alivyoagiza. Hayo ndiyo maagizo mtakayofuata.” Yoshua 8:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kisha Yoshua akateketeza jiji la Ai, na tangu siku hiyo likabaki rundo la kudumu la magofu.+
8 Na mara tu baada ya kuliteka jiji, mnapaswa kuliteketeza kwa moto.+ Mtafanya kama Yehova alivyoagiza. Hayo ndiyo maagizo mtakayofuata.”