Kumbukumbu la Torati 27:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mnapaswa kuijenga madhabahu ya Yehova Mungu wenu kwa mawe ambayo hayajachongwa na kumtolea Yehova Mungu wenu dhabihu za kuteketezwa juu yake. 7 Mtatoa dhabihu za ushirika+ na kuzila mahali hapo,+ nanyi mtashangilia mbele za Yehova Mungu wenu.+
6 Mnapaswa kuijenga madhabahu ya Yehova Mungu wenu kwa mawe ambayo hayajachongwa na kumtolea Yehova Mungu wenu dhabihu za kuteketezwa juu yake. 7 Mtatoa dhabihu za ushirika+ na kuzila mahali hapo,+ nanyi mtashangilia mbele za Yehova Mungu wenu.+