12 “Makabila yafuatayo yatasimama kwenye Mlima Gerizimu+ ili kuwabariki watu mtakapokuwa mmevuka Yordani: Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Yosefu, na Benjamini. 13 Na makabila yafuatayo yatasimama kwenye Mlima Ebali+ ili kutangaza laana: Rubeni, Gadi, Asheri, Zabuloni, Dani, na Naftali.