3 Wewe na Haruni mnapaswa kuwaandikisha watu wote wenye umri wa kuanzia miaka 20 na zaidi+ wanaoweza kutumikia katika jeshi la Israeli, kulingana na vikosi vyao.*
2 “Wahesabuni Waisraeli wote wenye umri wa kuanzia miaka 20 na zaidi, kulingana na koo zao,* wahesabuni wote wanaoweza kutumikia katika jeshi la Israeli.”+