Yoshua 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova akamwambia Yoshua, “Tazama, nimetia mikononi mwako Yeriko, mfalme wake, na mashujaa wake hodari.+ Yoshua 6:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wakaangamiza kwa upanga kila kiumbe kilichokuwa jijini, wanaume na wanawake, vijana na wazee, ng’ombe dume, kondoo, na punda.+
2 Yehova akamwambia Yoshua, “Tazama, nimetia mikononi mwako Yeriko, mfalme wake, na mashujaa wake hodari.+
21 Wakaangamiza kwa upanga kila kiumbe kilichokuwa jijini, wanaume na wanawake, vijana na wazee, ng’ombe dume, kondoo, na punda.+