9 Lakini msimwasi Yehova, nanyi msiwaogope watu wa nchi hiyo,+ kwa maana tutawashinda kwa urahisi.* Ulinzi wao umeondolewa, na Yehova yuko pamoja nasi.+ Msiwaogope.”
24 Atawatia wafalme wa mataifa hayo mikononi mwenu,+ nanyi mtayafutilia mbali majina yao kutoka duniani.*+ Hakuna mtu atakayewazuia,+ mpaka mtakapowaangamiza.+
24 Basi wana wao wakaingia na kuimiliki nchi hiyo,+ nawe ukawatiisha Wakanaani walioishi katika nchi hiyo,+ ukawatia mikononi mwao, wao pamoja na wafalme wao na wakaaji wa nchi, ili wawatendee wapendavyo.