-
Hesabu 14:29-31Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
29 Maiti zenu zitaanguka katika nyika hii,+ naam, ninyi nyote mlioninung’unikia, kila mtu aliyeandikishwa mwenye umri wa kuanzia miaka 20 na zaidi.+ 30 Hakuna hata mmoja wenu atakayeingia katika nchi niliyoapa kwamba mtaishi ndani yake,+ isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+
31 “‘“Na watoto wenu ambao mlisema kwamba watakuwa mateka,+ nitawaingiza katika nchi ambayo mmeikataa, nao wataijua.+
-