Hesabu 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa nini Yehova anatuleta kwenye nchi hii ili tuuawe kwa upanga?+ Wake zetu na watoto wetu watakuwa mateka.+ Je, si afadhali turudi Misri?”+ Kumbukumbu la Torati 1:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Isitoshe, watoto wenu ambao mlisema watakuwa nyara+ na wana wenu ambao leo hawajui lililo jema wala baya, hao ndio watakaoingia katika nchi hiyo, nami nitawapa ili waimiliki.+
3 Kwa nini Yehova anatuleta kwenye nchi hii ili tuuawe kwa upanga?+ Wake zetu na watoto wetu watakuwa mateka.+ Je, si afadhali turudi Misri?”+
39 Isitoshe, watoto wenu ambao mlisema watakuwa nyara+ na wana wenu ambao leo hawajui lililo jema wala baya, hao ndio watakaoingia katika nchi hiyo, nami nitawapa ili waimiliki.+