30 Hakuna hata mmoja wenu atakayeingia katika nchi niliyoapa kwamba mtaishi ndani yake,+ isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+
31 “‘“Na watoto wenu ambao mlisema kwamba watakuwa mateka,+ nitawaingiza katika nchi ambayo mmeikataa, nao wataijua.+