Mwanzo 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi mpaka wa Wakanaani ulianzia Sidoni mpaka Gerari,+ karibu na Gaza,+ hadi Sodoma, Gomora,+ Adma, na Seboiimu,+ karibu na Lasha. Yoshua 19:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 na Ebroni, Rehobu, Hamoni, na Kana hadi Sidoni Kuu.+ Yoshua 19:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Huo ndio uliokuwa urithi wa kabila la Asheri kulingana na koo zao.+ Hayo ndiyo yaliyokuwa majiji na vijiji vyake.
19 Basi mpaka wa Wakanaani ulianzia Sidoni mpaka Gerari,+ karibu na Gaza,+ hadi Sodoma, Gomora,+ Adma, na Seboiimu,+ karibu na Lasha.
31 Huo ndio uliokuwa urithi wa kabila la Asheri kulingana na koo zao.+ Hayo ndiyo yaliyokuwa majiji na vijiji vyake.