10 Kwa hiyo Loti akainua macho yake na kuona kwamba wilaya yote ya Yordani+ ilikuwa na maji ya kutosha (kabla Yehova hajaharibu Sodoma na Gomora), kama bustani ya Yehova,+ kama nchi ya Misri, mpaka Soari.+
7 Vivyo hivyo, watu wa Sodoma na Gomora na majiji ya karibu walifanya uasherati* wa kupindukia na kufuatilia tamaa za mwili zilizo kinyume cha maumbile;+ wamewekwa mbele yetu kama onyo kwa sababu walihukumiwa adhabu ya moto wa milele.+