13Basi Yoshua alikuwa amezeeka na umri wake ulikuwa umesonga sana.+ Kwa hiyo Yehova akamwambia, “Umezeeka na umri wako umesonga sana; na bado hamjamiliki* sehemu kubwa ya nchi.
6 wakaaji wote wa eneo lenye milima kuanzia Lebanoni+ hadi Misrefoth-maimu;+ na Wasidoni wote.+ Nitawafukuza* mbele ya Waisraeli.+ Utaigawanya nchi hiyo na kuwapa Waisraeli kuwa urithi wao, kama nilivyokuamuru.+