Kumbukumbu la Torati 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova Mungu wenu atawatia watu hao mikononi mwenu, nanyi mtawashinda.+ Mnapaswa kuwaangamiza kabisa.+ Msifanye agano lolote pamoja nao wala kuwahurumia.+ Kumbukumbu la Torati 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mtayaangamiza* mataifa yote ambayo Yehova Mungu wenu atayatia mikononi mwenu.+ Msiwahurumie*+ kamwe, nanyi msiabudu kamwe miungu yao,+ kwa sababu jambo hilo litakuwa mtego kwenu.+
2 Yehova Mungu wenu atawatia watu hao mikononi mwenu, nanyi mtawashinda.+ Mnapaswa kuwaangamiza kabisa.+ Msifanye agano lolote pamoja nao wala kuwahurumia.+
16 Mtayaangamiza* mataifa yote ambayo Yehova Mungu wenu atayatia mikononi mwenu.+ Msiwahurumie*+ kamwe, nanyi msiabudu kamwe miungu yao,+ kwa sababu jambo hilo litakuwa mtego kwenu.+