Hesabu 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Musa alipokuwa akiwatuma kuipeleleza nchi ya Kanaani, aliwaambia: “Pandeni mwingie Negebu, na kwenda juu kwenye eneo lenye milima.+ Kumbukumbu la Torati 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Geukeni na kuelekea katika eneo lenye milima la Waamori+ na kwa majirani wao wote kule Araba,+ katika eneo lenye milima, Shefela, Negebu, pwani ya bahari,+ nchi ya Wakanaani, na Lebanoni,*+ hadi kwenye ule mto mkubwa, Mto Efrati.+
17 Musa alipokuwa akiwatuma kuipeleleza nchi ya Kanaani, aliwaambia: “Pandeni mwingie Negebu, na kwenda juu kwenye eneo lenye milima.+
7 Geukeni na kuelekea katika eneo lenye milima la Waamori+ na kwa majirani wao wote kule Araba,+ katika eneo lenye milima, Shefela, Negebu, pwani ya bahari,+ nchi ya Wakanaani, na Lebanoni,*+ hadi kwenye ule mto mkubwa, Mto Efrati.+