Kumbukumbu la Torati 4:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 kuanzia Aroeri,+ kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, mpaka Mlima Sioni, yaani, Hermoni,+ Yoshua 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nusu iliyobaki ya kabila la Manase, pamoja na watu wa kabila la Rubeni na Gadi walichukua urithi wao waliopewa na Musa upande wa mashariki wa Yordani, kama tu Musa mtumishi wa Yehova alivyowapa:+ Yoshua 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 pia Gileadi na eneo la Wageshuri na Wamaakathi+ na eneo lote la Mlima Hermoni na Bashani+ hadi Saleka;+
8 Nusu iliyobaki ya kabila la Manase, pamoja na watu wa kabila la Rubeni na Gadi walichukua urithi wao waliopewa na Musa upande wa mashariki wa Yordani, kama tu Musa mtumishi wa Yehova alivyowapa:+
11 pia Gileadi na eneo la Wageshuri na Wamaakathi+ na eneo lote la Mlima Hermoni na Bashani+ hadi Saleka;+