53 “Watu hao wanapaswa kugawiwa urithi wa nchi kulingana na orodha ya majina.*+54 Unapaswa kuyapa makundi makubwa urithi mkubwa, na makundi madogo urithi mdogo.+ Kila kundi linapaswa kupewa urithi wake kulingana na idadi ya watu walioorodheshwa.
14Basi huu ndio urithi ambao kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa koo* za makabila ya Israeli waliwapa Waisraeli katika nchi ya Kanaani.+