“Ee Yehova Mungu wa mababu zetu, je, wewe si Mungu mbinguni;+ je, huna mamlaka juu ya falme zote za mataifa?+ Mkononi mwako mna nguvu na uwezo, na hakuna anayeweza kushindana nawe.+
35 Wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu, naye hufanya kulingana na mapenzi yake mwenyewe miongoni mwa jeshi la mbinguni na wakaaji wa dunia. Na hakuna yeyote anayeweza kumzuia*+ au kumuuliza, ‘Umefanya nini?’+