Yoshua 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kura ya pili+ ilikuwa ya Simeoni, kwa ajili ya kabila la Simeoni+ kulingana na koo zao. Nao walipewa urithi kati ya urithi wa kabila la Yuda.+ Yoshua 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Aini, Rimoni, Etheri, na Ashani+—majiji manne na vijiji vyake; Nehemia 11:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kuhusu maeneo na mashamba yake, baadhi ya watu wa Yuda waliishi Kiriath-arba+ na miji yake, Diboni na miji yake, Yekabzeeli+ na vijiji vyake, Nehemia 11:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 En-rimoni,+ Sora,+ na Yarmuthi,
19 Kura ya pili+ ilikuwa ya Simeoni, kwa ajili ya kabila la Simeoni+ kulingana na koo zao. Nao walipewa urithi kati ya urithi wa kabila la Yuda.+
25 Kuhusu maeneo na mashamba yake, baadhi ya watu wa Yuda waliishi Kiriath-arba+ na miji yake, Diboni na miji yake, Yekabzeeli+ na vijiji vyake,