Yoshua 19:40, 41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Kura ya saba+ ilikuwa ya kabila la Dani+ kulingana na koo zao. 41 Na mpaka wa urithi wao ulipita Sora,+ Eshtaoli, Ir-shemeshi, Waamuzi 16:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Baadaye ndugu zake na watu wote wa familia ya baba yake wakaja kumchukua. Wakamzika kati ya Sora+ na Eshtaoli katika kaburi la Manoa+ baba yake. Samsoni alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka 20.+
40 Kura ya saba+ ilikuwa ya kabila la Dani+ kulingana na koo zao. 41 Na mpaka wa urithi wao ulipita Sora,+ Eshtaoli, Ir-shemeshi,
31 Baadaye ndugu zake na watu wote wa familia ya baba yake wakaja kumchukua. Wakamzika kati ya Sora+ na Eshtaoli katika kaburi la Manoa+ baba yake. Samsoni alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka 20.+