8 Waamuru hivi makuhani wanaobeba sanduku la agano: ‘Mtakapofika kwenye ukingo wa maji ya Yordani, ingieni na kusimama tuli ndani ya maji ya Yordani.’”+
17 Makuhani waliobeba sanduku la agano la Yehova wakaendelea kusimama tuli kwenye nchi kavu+ katikati ya Yordani, huku Waisraeli wote wakivuka kwenye nchi kavu+ mpaka taifa lote lilipovuka Yordani.