1 Mambo ya Nyakati 6:64, 65 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 64 Kwa hiyo Waisraeli waliwapa Walawi majiji hayo na malisho yake.+ 65 Isitoshe, waliwapa kwa kura majiji hayo kutoka katika kabila la Yuda, kabila la Simeoni, na kabila la Benjamini, ambayo yametajwa majina yao.
64 Kwa hiyo Waisraeli waliwapa Walawi majiji hayo na malisho yake.+ 65 Isitoshe, waliwapa kwa kura majiji hayo kutoka katika kabila la Yuda, kabila la Simeoni, na kabila la Benjamini, ambayo yametajwa majina yao.