Yoshua 19:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mpaka wao ulipita Helkathi,+ Hali, Beteni, Akshafi, Yoshua 19:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Huo ndio uliokuwa urithi wa kabila la Asheri kulingana na koo zao.+ Hayo ndiyo yaliyokuwa majiji na vijiji vyake.
31 Huo ndio uliokuwa urithi wa kabila la Asheri kulingana na koo zao.+ Hayo ndiyo yaliyokuwa majiji na vijiji vyake.