Yoshua 19:10, 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kura ya tatu+ ilikuwa ya wazao wa Zabuloni+ kulingana na koo zao, na mpaka wa urithi wao ulifika Saridi. 11 Mpaka wao ulipanda upande wa magharibi kuelekea Mareali kufika Dabeshethi na kuingia bondeni* mbele ya Yokneamu.
10 Kura ya tatu+ ilikuwa ya wazao wa Zabuloni+ kulingana na koo zao, na mpaka wa urithi wao ulifika Saridi. 11 Mpaka wao ulipanda upande wa magharibi kuelekea Mareali kufika Dabeshethi na kuingia bondeni* mbele ya Yokneamu.