-
Hesabu 32:25-27Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 Wana wa Gadi na wana wa Rubeni wakamwambia Musa hivi: “Bwana wetu, sisi watumishi wako tutafanya kama unavyotuamuru. 26 Watoto wetu, wake zetu, mifugo yetu, na wanyama wetu wote watabaki hapa katika majiji ya Gileadi,+ 27 lakini sisi watumishi wako tutavuka, kila mwanamume aliyechukua silaha ili kupigana vita mbele za Yehova,+ kama unavyosema bwana wetu.”
-