13 na mara tu nyayo za makuhani wanaobeba Sanduku la Yehova, Bwana wa dunia nzima, zitakapogusa maji ya Yordani, maji ya Yordani yanayotoka upande wa juu yatasimamishwa, yatakuwa tuli kama bwawa.”*+
15 Mara tu makuhani waliobeba lile Sanduku walipofika Yordani na kutumbukiza miguu yao ukingoni mwa mto huo (kwa maana maji ya Yordani hufurika kwenye kingo zake+ sikuzote za mavuno),