3 na uwaamuru hivi: ‘Chukueni mawe 12 kutoka katikati ya Yordani, mahali ambapo miguu ya makuhani ilisimama tuli,+ myabebe na kuyaweka mahali mtakapolala usiku huu.’”+
6 Kisha wazee wa Gibeoni wakatuma ujumbe kwa Yoshua kambini Gilgali,+ wakisema: “Usituache* sisi watumwa wako.+ Njoo haraka ili utuokoe na kutusaidia! Wafalme wote wa Waamori kutoka katika eneo lenye milima wamekusanyika ili kutushambulia.”