Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Pia Waisraeli waliona nguvu nyingi ambazo* Yehova alidhihirisha dhidi ya Wamisri, basi watu wakaanza kumwogopa Yehova na kuwa na imani katika Yehova na Musa mtumishi wake.+

  • Kumbukumbu la Torati 4:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Au je, Mungu amewahi kujaribu kujichukulia taifa kutoka kati ya taifa lingine kwa hukumu,* kwa ishara, kwa miujiza,+ kwa vita,+ kwa mkono wenye nguvu,+ kwa mkono ulionyooshwa, na kwa matendo ya kutisha,+ kama Yehova Mungu wenu alivyowafanyia kule Misri mbele ya macho yenu wenyewe?

  • Kumbukumbu la Torati 29:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kisha Musa akawaita Waisraeli wote na kuwaambia, “Mmeona mambo yote ambayo Yehova alifanya mbele ya macho yenu katika nchi ya Misri, mambo ambayo alimtendea Farao na watumishi wake wote na nchi yake yote,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki