Kumbukumbu la Torati 31:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “Chukueni kitabu hiki cha Sheria+ mkiweke kando ya sanduku+ la agano la Yehova Mungu wenu, nacho kitakuwa ushahidi dhidi yenu mahali hapo.
26 “Chukueni kitabu hiki cha Sheria+ mkiweke kando ya sanduku+ la agano la Yehova Mungu wenu, nacho kitakuwa ushahidi dhidi yenu mahali hapo.