Matendo 7:15, 16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo Yakobo akashuka kwenda Misri,+ naye akafa akiwa huko,+ na pia mababu zetu.+ 16 Wakabebwa mpaka Shekemu na kulazwa katika kaburi ambalo Abrahamu alikuwa amenunua kwa kiasi fulani cha fedha kutoka kwa wana wa Hamori huko Shekemu.+
15 Ndipo Yakobo akashuka kwenda Misri,+ naye akafa akiwa huko,+ na pia mababu zetu.+ 16 Wakabebwa mpaka Shekemu na kulazwa katika kaburi ambalo Abrahamu alikuwa amenunua kwa kiasi fulani cha fedha kutoka kwa wana wa Hamori huko Shekemu.+