24 “Mnapaswa kuadhimisha tukio hili kwa kuwa ni sheria ya kudumu kwenu na kwa wana wenu.+25 Nanyi mtakapoingia katika nchi ambayo Yehova atawapa kama alivyoahidi, mnapaswa kuadhimisha tukio hilo.+
5 Kwa hiyo wakaitayarisha dhabihu ya Pasaka katika nyika ya Sinai katika mwezi wa kwanza, siku ya 14 ya mwezi huo kabla ya giza kuingia.* Waisraeli walifanya mambo yote ambayo Yehova alimwamuru Musa.