Waamuzi 6:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kisha roho ya Yehova ikamjia* Gideoni+ naye akapiga pembe,*+ na Waabiezeri+ wakakusanyika na kumfuata. 1 Samweli 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kisha Yonathani akaishambulia kambi ya kijeshi ya Wafilisti+ iliyokuwa Geba,+ na Wafilisti wakasikia habari hizo. Basi Sauli akaagiza pembe* ipigwe+ nchini kote, akisema: “Waebrania na wasikie!”
34 Kisha roho ya Yehova ikamjia* Gideoni+ naye akapiga pembe,*+ na Waabiezeri+ wakakusanyika na kumfuata.
3 Kisha Yonathani akaishambulia kambi ya kijeshi ya Wafilisti+ iliyokuwa Geba,+ na Wafilisti wakasikia habari hizo. Basi Sauli akaagiza pembe* ipigwe+ nchini kote, akisema: “Waebrania na wasikie!”