Kutoka 14:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Wakati wa kesha la asubuhi,* Yehova alitazama kambi ya Wamisri kutoka kwenye ile nguzo ya moto na wingu,+ naye akaivuruga kambi ya Wamisri. Yoshua 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova akawavuruga,+ na Waisraeli wakawaangamiza wengi wao kule Gibeoni, wakawafuatia kwenye njia inayopanda kwenda Beth-horoni na kuwaua mpaka Azeka na Makeda.
24 Wakati wa kesha la asubuhi,* Yehova alitazama kambi ya Wamisri kutoka kwenye ile nguzo ya moto na wingu,+ naye akaivuruga kambi ya Wamisri.
10 Yehova akawavuruga,+ na Waisraeli wakawaangamiza wengi wao kule Gibeoni, wakawafuatia kwenye njia inayopanda kwenda Beth-horoni na kuwaua mpaka Azeka na Makeda.