Hesabu 24:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Alipowaona Wakeni,+ aliendelea kusema maneno yake ya kishairi: “Makao yenu yako salama, yamejengwa juu ya mwamba. Waamuzi 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini Heberi Mkeni alikuwa amejitenga na Wakeni,+ waliokuwa wazao wa Hobabu, baba mkwe wa Musa,+ naye alipiga hema lake karibu na mti mkubwa uliokuwa Saananimu, kule Kedeshi.
21 Alipowaona Wakeni,+ aliendelea kusema maneno yake ya kishairi: “Makao yenu yako salama, yamejengwa juu ya mwamba.
11 Lakini Heberi Mkeni alikuwa amejitenga na Wakeni,+ waliokuwa wazao wa Hobabu, baba mkwe wa Musa,+ naye alipiga hema lake karibu na mti mkubwa uliokuwa Saananimu, kule Kedeshi.