-
Waamuzi 4:1-3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Baada ya Ehudi kufa, Waisraeli wakaanza tena kutenda maovu machoni pa Yehova.+ 2 Kwa hiyo Yehova akawatia mikononi mwa* Yabini mfalme wa Kanaani,+ aliyetawala Hasori. Mkuu wa jeshi lake aliitwa Sisera, naye aliishi Haroshethi+ ya mataifa.* 3 Waisraeli wakamlilia Yehova+ kwa sababu Yabini alikuwa na magari 900 ya vita yenye miundu ya chuma,*+ na kwa miaka 20 aliwakandamiza sana Waisraeli.+
-