3 Anapaswa kuwaambia hivi: ‘Sikilizeni, enyi Waisraeli, hivi punde mtapigana na maadui wenu. Msife moyo. Msiogope wala msihofu wala kutetemeka kwa sababu yao, 4 kwa maana Yehova Mungu wenu anapiga mwendo pamoja nanyi ili awapiganie dhidi ya maadui wenu na kuwaokoa ninyi.’+