Waamuzi 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo Yehova akamgeukia na kumwambia, “Nenda kwa nguvu ulizo nazo, nawe utawaokoa Waisraeli kutoka mikononi mwa Wamidiani.+ Je, si mimi ninayekutuma?”
14 Ndipo Yehova akamgeukia na kumwambia, “Nenda kwa nguvu ulizo nazo, nawe utawaokoa Waisraeli kutoka mikononi mwa Wamidiani.+ Je, si mimi ninayekutuma?”