-
Yoshua 17:11, 12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Katika maeneo ya Isakari na Asheri, watu wa kabila la Manase walipewa Beth-sheani na miji yake, Ibleamu+ na miji yake, Dori+ na miji yake, En-dori+ na miji yake, Taanaki+ na miji yake, Megido na miji yake, maeneo matatu yenye milima.
12 Lakini wazao wa Manase hawakumiliki majiji hayo; Wakanaani waliendelea kukaa katika nchi hiyo.+
-