Hesabu 22:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sasa Balaki+ mwana wa Sipori aliona mambo yote ambayo Waisraeli waliwatendea Waamori, 3 na Wamoabu wakawaogopa sana Waisraeli, kwa sababu walikuwa wengi sana; naam, Wamoabu wakafadhaika kwa hofu kwa sababu ya Waisraeli.+ Yoshua 24:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kisha Balaki mwana wa Sipori, mfalme wa Moabu, akaja kupigana na Israeli. Basi akamwita Balaamu mwana wa Beori ili awalaani ninyi.+
2 Sasa Balaki+ mwana wa Sipori aliona mambo yote ambayo Waisraeli waliwatendea Waamori, 3 na Wamoabu wakawaogopa sana Waisraeli, kwa sababu walikuwa wengi sana; naam, Wamoabu wakafadhaika kwa hofu kwa sababu ya Waisraeli.+
9 Kisha Balaki mwana wa Sipori, mfalme wa Moabu, akaja kupigana na Israeli. Basi akamwita Balaamu mwana wa Beori ili awalaani ninyi.+