30 Ndipo Yeftha akaweka nadhiri+ kwa Yehova akisema, “Ukiwatia Waamoni mikononi mwangu, 31 yeyote atakayetoka nje ya mlango wa nyumba yangu ili kunipokea nitakaporudi baada ya kuwashinda Waamoni atakuwa wa Yehova,+ nami nitamtoa kama dhabihu ya kuteketezwa.”+