22 Lakini Hana hakwenda+ kwa sababu alimwambia hivi mume wake: “Mara tu nitakapomwachisha mvulana huyu kunyonya, nitampeleka mbele za Yehova, naye atabaki huko kuanzia wakati huo na kuendelea.”+
24 Mara tu alipomwachisha kunyonya, alimpeleka Shilo pamoja na ng’ombe dume wa miaka mitatu, efa* moja ya unga, na mtungi mkubwa wa divai,+ naye pamoja na mvulana huyo wakafika katika nyumba ya Yehova huko Shilo.+