22 Ndipo Gideoni akatambua kwamba huyo alikuwa malaika wa Yehova.+
Mara moja Gideoni akasema, “Ole wangu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, kwa sababu nimemwona malaika wa Yehova uso kwa uso!”+ 23 Lakini Yehova akamwambia, “Uwe na amani. Usiogope;+ hutakufa.”