11 Basi wanaume 600 wa kabila la Dani wenye silaha wakatoka Sora na Eshtaoli.+ 12 Nao wakaenda na kupiga kambi karibu na Kiriath-yearimu+ kule Yuda. Ndiyo sababu eneo hilo lililo upande wa magharibi wa Kiriath-yearimu, linaitwa Mahane-dani+ mpaka leo.