Waamuzi 16:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Delila alimsumbua Samsoni siku baada ya siku na kumshinikiza, akamchosha* hivi kwamba akatamani kufa.+ Waamuzi 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Delila alipoona kwamba Samsoni amemfunulia moyo wake, akawaita mara moja watawala wa Wafilisti+ na kuwaambia, “Njooni, kwa maana sasa amenifunulia moyo wake.” Basi watawala wa Wafilisti wakaja kwa Delila wakiwa na zile pesa.
16 Delila alimsumbua Samsoni siku baada ya siku na kumshinikiza, akamchosha* hivi kwamba akatamani kufa.+
18 Delila alipoona kwamba Samsoni amemfunulia moyo wake, akawaita mara moja watawala wa Wafilisti+ na kuwaambia, “Njooni, kwa maana sasa amenifunulia moyo wake.” Basi watawala wa Wafilisti wakaja kwa Delila wakiwa na zile pesa.