18 Wakapanda kwenda Betheli kumwomba Mungu ushauri.+ Basi Waisraeli wakamuuliza hivi: “Ni nani kati yetu anayepaswa kutuongoza kupigana na Wabenjamini?” Yehova akajibu, “Kabila la Yuda litaongoza.”
26 Ndipo wanaume wote wa Israeli wakapanda kwenda Betheli. Wakalia na kukaa huko mbele za Yehova,+ nao wakafunga+ siku hiyo mpaka jioni na kumtolea Yehova dhabihu za kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika.+