Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Ni lazima Haruni na wanawe wamalize kufunika mahali patakatifu+ na vyombo vyote vya mahali patakatifu kabla ya watu kuanza safari. Kisha wana wa Kohathi watakuja kuvibeba,+ lakini hawapaswi kugusa vitu vitakatifu, la sivyo watakufa.+ Wana wa Kohathi ndio walio na jukumu la kubeba vitu vya hema la mkutano.

  • Hesabu 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hawapaswi kuingia hemani na kuona vitu vitakatifu hata kwa muda mfupi, la sivyo watakufa.”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 13:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya Uza, Naye akamuua kwa sababu aliunyoosha mkono wake na kulikamata Sanduku+ hilo, naye akafa hapo mbele za Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki