26 Sauli pia akaenda nyumbani kwake kule Gibea, akiwa pamoja na mashujaa ambao Yehova alikuwa amegusa mioyo yao. 27 Lakini wahuni fulani wakasema: “Huyu atatuokoaje?”+ Kwa hiyo wakamdharau, nao hawakumletea zawadi yoyote.+ Lakini hakusema jambo lolote kuhusu hilo.